top of page

Uzinduzi wa Albamu ya Baraka bado ziko kufanyika Septemba...

  • Writer: Babaake Sign Arts
    Babaake Sign Arts
  • May 29, 2018
  • 1 min read

Dar es salaam- Tanzania.


Mwanamziki wa nyimbo za injili wa nchini Tanzania Naomi Paul anatarajia kuzindua albamu yake ya kwanza iitwayo Baraka bado zipo, Akizungumza na www.babaakesign.wixsite.com/live alisema `` Mungu akipenda natarajia kuzindua albamu yangu ya Baraka bado zipo na uzinduzi huu utafanyika katika kanisa la Faith Alive ililopo Kinyerezi jijini Dar es salaam mwezi wa tisa mwaka huu`` alisema Naomi Paulo.



ree

Naomi Paul ni mwanamziki mwenye sauti ya inayofanana na Bahati Bukuku ambaye nae ni mwanzamziki wa Injili anaye ishi Tanzania. Kaaa mkao wa kula usikose uzinduzi huu








 
 
 

Comments


© 2018 by Babaake Sign & Arts. Proudly created with Paskal Linda

bottom of page